Kidole changu kimevimba na kinauma

Sasa si unatakiwa unipe kwanza mechanism hata kwa ufupi tu au? Kwamba lile joto la kuleeee linaweza kumtoa mdudu kidoleni...!! Noma sana hili ni ajabu namba la papuchi.
Huwezi mwona mdudu, atafia kidoleni, utakachoona ni kidole kukauka na kupona kabisa
 
Uodate: kwa sasa nmekiwekea ndula nmefata ushauri wa baadhi ya wachangiaji
 
Iyo kitu inauma sana.
Tena ukijitonesha usiku ukiwa umelala utajuta.

Inatibiwa kienyeji ndugu.

Iyo uliyoweka ulipaswa kwanza uchanje hapo kwenye mdomo karibu na kucha pa brown.

pia unaweza chanja kidole ukapaka kitunguu saumu na kuvisha icyo ndulele.
 
asee pole sana, nina uncle wangu ambaye alipata tatizo kama lako yeye ilikuwa dole gumba, alitibiwa kienyeji na akapona,ila hadi kucha ilitoka yote, na sidhani kama gharama ilizidi hata elfu tano, ila kilimtesa sana mwanzoni kabla hajatibiwa
 
nichanje kidole tena
 
Habar, wekavChale kwenye hicho kidole, then nenda kwenye tundu la choo weka kidole kivute hewa ya chooni kwa Muda wa dakika5+ then utanipa feedback. Kumbuka asante
 
Maji yachemke haswa then tia chumvi.weka kidole humo mpaka uhisi kama unaungua,toa kidole pindi ukihisi unaungua then kirudishe tena humo.waweza kuweka maji hayo kwenye kikombe au kibakuli.kumbuka kuweka chumvi nyingi
Another traumatic injury. Sayansi ya darasa la tatu...ili kitu kitanuke kinahitaji joto..tayari kidole kimevimba then unaongeza temperature....si sahihi
 
asee pole sana, nina uncle wangu ambaye alipata tatizo kama lako yeye ilikuwa dole gumba, alitibiwa kienyeji na akapona,ila hadi kucha ilitoka yote, na sidhani kama gharama ilizidi hata elfu tano, ila kilimtesa sana mwanzoni kabla hajatibiwa
Alichelewa. haikupaswa kucha kutoka wala kuharibu mwonekano wa kidole.
Mi niliugua hiyo lakini nikikuunyesha kidole hakina tofauti na vingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…