Kidole kimekufa ganzi baada ya kutumia dawa, msaada tafadhali

Kidole kimekufa ganzi baada ya kutumia dawa, msaada tafadhali

chlorine gas

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
2,522
Reaction score
2,651
Jaman ni wk sasa toka nijkate kdole na bati, baada ya kwenda hospital nilishonwa nyuzi na kuwekewa dawa.tatizo lina kuja baada ya kidonda kufunga kidole kimekufa ganzi.wakubwa hii inatokana na nin? na nin matababu yke? natangulza shukrani
 
Mh something is not okey!!!! Pengine ulishonwa vibaya sikilizia then ukiona hali bado urudi kwa dokta au ujaribu dawa ya kuchua
 
Back
Top Bottom