Kidonda ndugu kinammaliza mguu jamani

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,111
Reaction score
2,781
Wakuu wa Nchi naombeni msaada kwa mtu anayejua Dawa ya kidonda ndugu please ya mbadala please .nasikia eti asali ya nyuki wadogo wanasaidia kuponyesha ,mwenye ushaurii naomba please.
 
Tafuta dawa ya murututu ule wa blue cristles. Saga weka kwenye kidonda. Tahadhari, lazima ushikiwe chini kwani maumivu yake si mchezo, lakini ni mara moja tu asubuhi tiyari umeshasahau na uponyaji unaanza mara moja.
Yapo magonjwa mengine hata hao madaktari wanacheza nachi tu
 

mrututu si sumu jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…