Kidonda sugu

ibrahim Abibu

Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
20
Reaction score
11
Ndugu zangu mi nilipata ajari ya moto nikatibiwa hospital baada ya kupata nafuu niakaruhusuwa ila nilikua na kidonda nyuma ya mguu kwenye msuri nimejitaidi sana ila mpaka leo hakijapona kina zaidi ya miezi 3sasa na nikijaribu kutembea umbali mrefu mguu huo unavimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…