Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Serikali ya Rwanda imesema haitarejesha pesa ilizopewa na Uingereza kwenye mpango walioingia awali wa Uingereza kupeleka wakimbizi nchini Rwanda. Mpaka sasa Uingereza imeilipa Kigali dola za kimarekeani milioni 307.
Awali Rais Kagame wakati wanaingia mkataba alipendekeza kurejesha fedha endapo wahamiaji wasingekubali kwenda Rwanda pamoja na kwamba hawakuwajibika kufanya hivyo.
Waziri mkuu mpya wa Uingereza, Keir Starmer alisema Jumamosi mpango huo ambao Rwanda iliingia na serikali iliyopita ya Conservatives umekufa na kuzikwa.
Pia, soma=> Mwombaji hifadhi wa kwanza apelekwa Rwanda baada ya kukubali kwa hiari kuondoka Uingereza. Apewa Pauni 3,000 (Tsh milioni 9.6)
Awali Rais Kagame wakati wanaingia mkataba alipendekeza kurejesha fedha endapo wahamiaji wasingekubali kwenda Rwanda pamoja na kwamba hawakuwajibika kufanya hivyo.
Waziri mkuu mpya wa Uingereza, Keir Starmer alisema Jumamosi mpango huo ambao Rwanda iliingia na serikali iliyopita ya Conservatives umekufa na kuzikwa.
Pia, soma=> Mwombaji hifadhi wa kwanza apelekwa Rwanda baada ya kukubali kwa hiari kuondoka Uingereza. Apewa Pauni 3,000 (Tsh milioni 9.6)