Nkwe2RG
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 231
- 224
Nimejaribu kuwekeza kwenye matumbo ya wapenda chips na kwa bahati 'goli' liko eneo poa kabisa. Sasa kali ya mwezi Mei ni pale kijana wangu na kwa ufuatiliaji wangu wa karibu, mauzo ya siku 6 yalipofikia elf 80 tu na huku nikibakiwa na elfu 10 tu kama faida baada ya kutoa elfu 55 ya viazi na zagazaga zingine kama sehem ya mtaji.
Hii ina maana kwa mwezi ni sawa na kiasi hicho (elfu 10) mara tano sawa na elfu 50 tu kama faida. Nauza chips mayai tu.
Tafadhali naomba maujanja zaidi ya biashara hii kwa maana nilianza kusoma nyuzi mbalimbali humu kabla sijafungua goli
Hii ina maana kwa mwezi ni sawa na kiasi hicho (elfu 10) mara tano sawa na elfu 50 tu kama faida. Nauza chips mayai tu.
Tafadhali naomba maujanja zaidi ya biashara hii kwa maana nilianza kusoma nyuzi mbalimbali humu kabla sijafungua goli