Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kutokana na utata wa kuandama Kwa mwezi pamoja na ukuaji wa technology naomba kufahamu endapo kipo kifaa maalum chakuangalia kuandama Kwa mwezi na gharama yake NI kiasi gani ili tuweke mikakati yakukinunua na kukiweka kwenye mamlaka husika.
Tanzania tuna wadau wengi wanapenda kufanikisha ibada Kwa wale wote wanaopenda ibada. Tumejenga miskiti nataasisi mbalimbali, tumefunga na tungependa kuwa na uhakika nafunga Kwa kipindi kijacho hasa eneo la kuandama Kwa mwezi. Tusaidiane mawazo tulitatue ili
Tanzania tuna wadau wengi wanapenda kufanikisha ibada Kwa wale wote wanaopenda ibada. Tumejenga miskiti nataasisi mbalimbali, tumefunga na tungependa kuwa na uhakika nafunga Kwa kipindi kijacho hasa eneo la kuandama Kwa mwezi. Tusaidiane mawazo tulitatue ili