Habari zenu wadau
Mimi namiliki duka la rejareja hapa mjini,napata shida sana ya kuhesabu bidhaa mara kwa mara,sasa natafuta mashine itayofanya hiyo kaziili kujua kila bidhaa inayotoka kama zile wanazotumia kwa supermarkets,kwa yeyote anayejua zinapopatikana hapa dar anijuze tafadhali.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mimi namiliki duka la rejareja hapa mjini,napata shida sana ya kuhesabu bidhaa mara kwa mara,sasa natafuta mashine itayofanya hiyo kaziili kujua kila bidhaa inayotoka kama zile wanazotumia kwa supermarkets,kwa yeyote anayejua zinapopatikana hapa dar anijuze tafadhali.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums