Mpondoshilla
Member
- Jul 4, 2022
- 36
- 132
Habari za humu wanaJF
Niende moja kwa moja kwenye mada najua kuna bunifu mbali mbali zimekuwepo na zinaendelea kubuniwa na zinasaidia kiujumla,
Ila hii ya kwangu ni yakipekee na inahitaji tu maboresho
Niliwahi ipeleka shule moja ya ufundi hapa Dar ila waliipotezea
Huu ubunifu nilitumia muda wa miaka miwili kufanikiwa kuunda japo nilipata wazo kwa mbunifu mmoja ila wa kwangu ni tofauti kidogo.
Ni kifaa ambacho kinaweza kuzima na kuwasha kifaa chochote kinachotumia umeme wa majumbani.
Kwa kutumia simu ukiwa popote
Na ukiwasha hata ukiwa mbali utapata majibu kuwa kifaa chako kimewashwa na ukizima pia utapata majibu kuwa kimezimika.
Sasa ushauri wenu wadau niendelee kukiboresha au nikipotezee tu maana pesa niliyo tumia ni kiasi kikubwa kidogo kwangu meme japo ni vifaa vya kuunga unga tu
Uzi tayari
Niende moja kwa moja kwenye mada najua kuna bunifu mbali mbali zimekuwepo na zinaendelea kubuniwa na zinasaidia kiujumla,
Ila hii ya kwangu ni yakipekee na inahitaji tu maboresho
Niliwahi ipeleka shule moja ya ufundi hapa Dar ila waliipotezea
Huu ubunifu nilitumia muda wa miaka miwili kufanikiwa kuunda japo nilipata wazo kwa mbunifu mmoja ila wa kwangu ni tofauti kidogo.
Ni kifaa ambacho kinaweza kuzima na kuwasha kifaa chochote kinachotumia umeme wa majumbani.
Kwa kutumia simu ukiwa popote
Na ukiwasha hata ukiwa mbali utapata majibu kuwa kifaa chako kimewashwa na ukizima pia utapata majibu kuwa kimezimika.
Sasa ushauri wenu wadau niendelee kukiboresha au nikipotezee tu maana pesa niliyo tumia ni kiasi kikubwa kidogo kwangu meme japo ni vifaa vya kuunga unga tu
Uzi tayari