Ndg, wanajamvi nahitaji kufahamu ukweli huu Wa kuwa kinyesi cha mnyama tembo kinaweza kutumika kwa kutibu kifafa na je, dozi yake inatumikaje?
Naomba nipate faida kutoka kwenu wataalam ili kuisaidia jamii yangu iliyopotea kwa kuiga mila kitu hats kama kinamadhara!!!!!!