meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Jomo Kenyeta International Airport ni ya 100 kwa huduma za ndege duniani. Kila baada ya dk 15 ndege 4 kubwa zinashuka na 4 zinapaa kila siku. Oriva Tambo Johs wenyewe kila baada ya dk 15 ndege 10 zina land 10 zina take off.Nimekaa Arusha miaka mingi kikazi na eneo la Arumeru kina ma Lab hall makubwa ambayo ni mashamba makubwa ya maua.
Cha ajabu maua Karibu yote yanasafirishwa kupitia kiwanja cha ndege cha Kenya Jomo Kenyatta wakati tuna kiwanja kizuri tu pale Kilimanjaro cha KIA
Tatizo ni nini KIA haitumiki kusafirisha maua kwenda Ulaya kutoka mashamba ya Arusha?
Niliwahi kusikia tuna wataalam wachache wa air yaani Air Technicians!! Ilitolewa na Waziri Prof Mbarawa!
Usafirishaji wa maua sio wa leo wala Jana lakini kwanini wataalam wameshindwa kutumia KIA kwani Kuna upungufu gani kiwanjani hapo!?!
Au kuna watu wana maslahi na usafirishaji hayo maua huko Kenya?
Uwanja wa Health law uko wapi?Acha ujinga wewe, Jomo Kenyeta International Airport ni ya 100 kwa huduma za ndege duniani. Kila baada ya dk 15 ndege 4 kubwa zinashuka na 4 zinapaa kila siku. Oriva Tambo Johs wenyewe kila baada ya dk 15 ndege 10 zina land 10 zina take off. Uwanja unaongoza kwa shughuli duniani ni Health law International Airport. Kila baada ya dk 15 ndege 50 zinaland 50 zina took off. Sasa ndio unaweza kuufananisha na KIA au? Ikiwa hata DIA wenyewe hauifikii JKIA.
Nilirudi kwenye point yako ya kijinga, KIA ina ndege ya moja kwa moja kwenda Abroad pale, au unajua yale maua yanaenda kuuzwa Kisumu nini? Acheni chuki na wivu wa kitoto, eti ukiongea hivyo basi nani unategemea asikie eti aulize au akataze kupeleka JKIA utakufa maskini ndugu yangu, kama hata vitu vidogo hivyo vinakusumbua.
Ni Heathrow bro Na sio health lawAcha ujinga wewe, Jomo Kenyeta International Airport ni ya 100 kwa huduma za ndege duniani. Kila baada ya dk 15 ndege 4 kubwa zinashuka na 4 zinapaa kila siku. Oriva Tambo Johs wenyewe kila baada ya dk 15 ndege 10 zina land 10 zina take off. Uwanja unaongoza kwa shughuli duniani ni Health law International Airport. Kila baada ya dk 15 ndege 50 zinaland 50 zina took off. Sasa ndio unaweza kuufananisha na KIA au? Ikiwa hata DIA wenyewe hauifikii JKIA.
Nilirudi kwenye point yako ya kijinga, KIA ina ndege ya moja kwa moja kwenda Abroad pale, au unajua yale maua yanaenda kuuzwa Kisumu nini? Acheni chuki na wivu wa kitoto, eti ukiongea hivyo basi nani unategemea asikie eti aulize au akataze kupeleka JKIA utakufa maskini ndugu yangu, kama hata vitu vidogo hivyo vinakusumbua.
Uko London UK.Uwanja wa Health law uko wapi?
By the way KLM inaendaga wapi ?
KLM hizo ni ndege za Nederland's au Uholanzi. Zikitoka JKIA zinatua moja kwa moja Ulaya, haziitaji tena connection. Lakini ikija KIA inaweza ikarudi tena JNIA, lakini lazima iende Johs au Nairobi kufanya connection ndio iondoke moja kwa moja.Uwanja wa Health law uko wapi?
By the way KLM inaendaga wapi ?
Maeneo gani ya London?hebu tuwekee coordinates zakeUko London UK.
Maeneo gani ya London?hebu tuwekee coordinates zakeUko London UK.
Mkuu kwani kutoka maeneo ya USA na Tengeru ambapo kuna mashamba ya maua hadi KIA ni dakika ngapi? halafu kitoka USA na TENGERU hadi JOMO KENYATA NI DK NGAPI?Ndugu mleta Uzi kwanza nataka nikufahamishe Kia in uwanja pekee Africa kama siyo duniani was ndege ambao unamilikiwa na mwekezaji ambaye in Kadco na Hugo mwekezaji amekuwa akicharge landing fee kubwa kuliko hata Jkia hivyo ndege nyingi zina land Nairobi kukwepa excessive charges.pili hayo maua unayosema hayawezi kujaza hata nusu ya ndege ya mizigo hivyo inaitajika mizigo ya kujaza ndege.na mwisho Kia hakuna facility za Ku hold maua kama cold room ambayo inaweza kukeep maua freshly . Natumaini umenielewa
Hebu kuwa na mawazo positive mtanzania wewe.Ndiyo wenye soko hao na ili yaingie sokoni lazima yawe na utambulisho kuwa yametoka Kenya. Au kama unadhani mnaonewa bebeni hayo makopo ya maua yapelekeni KIA mkayapakize kwenye ndege muyapeleke ulaya.
Bongo mlijaribiwa once mkaharibu huko sokoni sasa hivi Kenya wanawasaidieni tu kubeba risk zenu
Kwahiyo issue ni ushuru KIA uko juu ukilinganisha na Jomo Kenyatta Airport?KIA nighali zaidi ndo maana hata kwenye utalii wageni wengi hushukia nairobi na huletwa kwa 4x4 mpaka huku kwa kuanza safari
Unafikiri ni mazingira gani hayo mazuri yako huko Kenya tofauti na KIAMkuu mi nadhani kila mfanyabiashara anahitaji faida.Ili upate faida ya kutosha lazima utafute njia BORA NA RAHISI za kuifanikisha biashara yako.Nadhani huko Kenya kuna mazingira mazuri zaidi ya kupitishia biashara yao.