Kifesi kaacha au kaachishwa?

Kifesi kaacha au kaachishwa?

bestmale

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
3,067
Reaction score
1,805
uyo jama shenzi type kweli kaingilia love life ya boss wake Diamond .. kabla ata hajafukuzwa rasmi ...kakimbilia instagram kuwadanganya watu eti ameacha kazi ... kwani kuachishwa kazi si kawaida tu ...why uyo brother yake harmorapa ana danganya watu ...... [emoji33] [emoji23] [emoji41] [emoji31] [emoji23][emoji51] [emoji28] [emoji15] [emoji12] [emoji6]
 
wewe unajuaje kama kaachishwa na si kaacha mwenyewe kama anavyodai, watu mnajifanya mnajua maisha ya wengine kuliko wao wanavyoyajua.
 
Ni kwamba amefukuzwa!!
Huwezi kuingilia mahusiano ya bosi wako tena unamtoa akili kwenye mitandao ya kijamii,utafikiri huyo Zari alimkuta Bikira?!?!
 
Ni kwamba amefukuzwa!!
Huwezi kuingilia mahusiano ya bosi wako tena unamtoa akili kwenye mitandao ya kijamii,utafikiri huyo Zari alimkuta Bikira?!?!
kweli lakini uyo kifesi akiri hana
 
uyo jama shenzi type kweli kaingilia love life ya boss wake Diamond .. kabla ata hajafukuzwa rasmi ...kakimbilia instagram kuwadanganya watu eti ameacha kazi ... kwani kuachishwa kazi si kawaida tu ...why uyo brother yake harmorapa ana danganya watu ...... [emoji33] [emoji23] [emoji41] [emoji31] [emoji23][emoji51] [emoji28] [emoji15] [emoji12] [emoji6]
Yeye Kasema ameacha kwahiyo tunasimamia hapo hapo kwamba YEYE NDIO AMEACHA.......Kama Ameachishwa basi WCB ndio waseme na sio huyo ESMA MLEA MARIOO.
 
Majina ya kike yanapoanza kutumiwa na wanaume inashangaza. Mtoto wakiume unajiitaje kifesi?
 
Back
Top Bottom