Kifo Ahamari cha Jimmy Carter

Kifo Ahamari cha Jimmy Carter

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,451
Mapema mwezi huu, April 11,makamu wa rais Walter Mondale iliripotiwa kwamba ameondoka Washington kuzuru. Iceland, Scandinavia na Holland. Lakini,rafiki zangu,mwanaume na mwanamke ndani ya Air Force 2 hawakuwa Mondale na mke wake,walikuwa doubles,watu wanaofanana nao. Walter Mondale mwenyewe na mke wake walikuwa wametoroshwa.
 
Back
Top Bottom