Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,451
Mapema mwezi huu, April 11,makamu wa rais Walter Mondale iliripotiwa kwamba ameondoka Washington kuzuru. Iceland, Scandinavia na Holland. Lakini,rafiki zangu,mwanaume na mwanamke ndani ya Air Force 2 hawakuwa Mondale na mke wake,walikuwa doubles,watu wanaofanana nao. Walter Mondale mwenyewe na mke wake walikuwa wametoroshwa.