Kifo au uhai kipi ni neema ya mungu kwa mwanadamu

Kifo au uhai kipi ni neema ya mungu kwa mwanadamu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa

Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapi juu

kifo na uhai vyote ni kaz ya mungu baba wa mbingun aliye juu hilo halina ubishi kwa mwabadamu yeyote yule

Kipi ni neema kwa mwanadamu kati ya hivyo viwili

Je kifo ndo neema ya mungu kwa mwanadamu?
Je uhai ndo neema ya mungu kwa mwanadamu?

Nimekuwa mara nyingi nikisikia kutoka kwa watu mbali mbali pale panapotokea mtu katutoka hudai na kusema mungu kampenda zaid ndo maana kaondoka
Pia nimekuwa nikisikia kutoka kwa watu mbali mbali walio hai wao hudai wako hai sababu mungu anawapenda sana

Sasa bas naomba kujua kati ya kifo na uhai upi ni upendo mkubwa zaid wa mungu kwa mwanadamu

Ninajua magongwa na majanga ni kazi takatifu ya ibilis vip kuhusu kifo na uhai

MUNGU BABA WA MBINGUN AWABALIKI SANA. AMINA

Nawasilisha

LONDON BABY

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kifo ni sehemu ya maisha ya mwandamu akiepukiki

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa

Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapi juu

kifo na uhai vyote ni kaz ya mungu baba wa mbingun aliye juu hilo halina ubishi kwa mwabadamu yeyote yule

Kipi ni neema kwa mwanadamu kati ya hivyo viwili

Je kifo ndo neema ya mungu kwa mwanadamu?
Je uhai ndo neema ya mungu kwa mwanadamu?

Nimekuwa mara nyingi nikisikia kutoka kwa watu mbali mbali pale panapotokea mtu katutoka hudai na kusema mungu kampenda zaid ndo maana kaondoka
Pia nimekuwa nikisikia kutoka kwa watu mbali mbali walio hai wao hudai wako hai sababu mungu anawapenda sana

Sasa bas naomba kujua kati ya kifo na uhai upi ni upendo mkubwa zaid wa mungu kwa mwanadamu

Ninajua magongwa na majanga ni kazi takatifu ya ibilis vip kuhusu kifo na uhai

MUNGU BABA WA MBINGUN AWABALIKI SANA. AMINA

Nawasilisha

LONDON BABY

Post sent using JamiiForums mobile app

1500224098619.png
 
kwani kwa mujibu wa kitabu kinazungumziaje kifo na uhai..?
 
Yote anayapanga yeye,yeye ni muweza wa yote,daima yeye hutenda haki.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom