Kifo cha Benard Membe is a waking alert

Kifo cha Benard Membe is a waking alert

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.

Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.

1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..

2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara

3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.

Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.

1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao
Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..

2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara

3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.

Mungu Ibariki Tanzania
Kitu chochote kinawezekana kukitengenezea story na ika make sense, ndicho nikionacho hapa.
 
Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.

Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.

1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao
Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..

2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara

3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.

Mungu Ibariki Tanzania

Ww ndio Nchimbi mwenyewe nini sasa unajipigia promo?
 
Tujifunze kusamehe kwa kuwa Mola ni mwingi wa kusamehe


Kwenye Uislam kuna Swala ya kuswalia Maiti ( Marehemu ) kabla hajazikwa

katika Sehemu ya mwisho ya swala hiyo huwa tunamuomba Mola apokee matendo yetu Mema na asifutinishe tuliobaki kutokana na ya Marehemu huyo
 
Tujifunze kusamehe kwa kuwa Mola ni mwingi wa kusamehe


Kwenye Uislam kuna Swala ya kuswalia Maiti ( Marehemu ) kabla hajazikwa

katika Sehemu ya mwisho ya swala hiyo huwa tunamuomba Mola apokee matendo yetu Mema na asifutinishe tuliobaki kutokana na ya Marehemu huyo
Musiba is a factor kuna wenyewe
 
Nimewasikia madaktari waliompokea Membe leo wakihitimisha kuwa amefariki kutokana na changamoto za upumuaji na hasa kuganda kwa damu kwenye mapafu.
Najiuliza tu:
Je Membe alikuwa amechanjwa zile chanjo za "Moderna" ambazo zinalalamikiwa kuleta maafa huko marekani?
Je madaktari wametumia njia gani kugundua haraka hivyo, kuwa kuganda kwa damu "Embolism" ndio sababu?
Je hakuna sababu ya kufanya "Post Mortem" hasa tukizingatia ukweli kuwa hakuwa anaumwa siku za karibuni?
Je kumbukumbu za afya yake zimechunguliwa? Daktari wake ametoa ushirikiano kwa madaktari wa Kariuki?
Nawaza kwa sauti tu.🤔
 
Back
Top Bottom