pale c alikuwa anaact tu, kwan action ina uhusiano gan na real life yake?
'' Enyi waja wangu mlio amini ! Kwa hakika ardhi yangu ina wasaa. Basi niabuduni Mimi peke yangu. Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa kwetu. QUR'AN: 29:56-57Ukipata hela ya mawazo epuka ulevi, wenye hekima walisema pombe ni mama wa maasi..jama alikunywa hamu ya kugonga ngozi ikamjia kamuita mwenzie, wivu ukafuata na kwa sbb ya pombe alikosa reasoning na ugomvi kufuata. Mwisho MAUTI yakamkuta..
'' Enyi waja wangu mlio amini ! Kwa hakika ardhi yangu ina wasaa. Basi niabuduni Mimi peke yangu. Kila nafsi itaonja mauti. Kisha mtarudishwa kwetu. QUR'AN: 29:56-57
Mie kimenifundisha niwapo kwenye ugomvi nijitahidi nisiangukie Kisogo"
unamtaka mwenye maneno ndipo uelewe maneno ? Au unajitia hamnazo ?NI maneno ya nani hayo?
Ukiangukia tumbo je!?
nimejifunza wanaompamba kanumba wengi hawana na wala hawafikirii kosa lake ni nini!
wote wazinzi tu
MBONA NYANI UNASHANGAA SANA, Tatizo ni kuwa jamii sasa ni rotten kiasi ambACHO uovu haukemewi tena. Hivi mpaka sasa hujagundua/jua kuwa sourece ni uasherati. najua mlimpenda sana lkn ukweli unasimama kuwa the coz of his premature death ni uasherati. Kwani LULU alikuwa mke wake?Hivi kosa la Kanumba ni lipi hasa?
nimejifunza wanaompamba kanumba wengi hawana na wala hawafikirii kosa lake ni nini!
wote wazinzi tu
Hivi kosa la Kanumba ni lipi hasa?
MBONA NYANI UNASHANGAA SANA, Tatizo ni kuwa jamii sasa ni rotten kiasi ambACHO uovu haukemewi tena. Hivi mpaka sasa hujagundua/jua kuwa sourece ni uasherati. najua mlimpenda sana lkn ukweli unasimama kuwa the coz of his premature death ni uasherati. Kwani LULU alikuwa mke wake?
Kama madongo mtarusha rusheni tu, ila jamaa uasherati umesababisha kifo chake, kama lawama basi nilaumiwe
1. Kosa la kanumba ni kuwa na mtoto wa kike ambaye hajamtolea posa, wala mahari na alikuwa anafanya naye mapenzi
2. kosa la pili ni kutembea na mfanyakazi wake
3. kosa la tatu ni kudanganya umma kuwa hana gf
5. la tano ni kutembea na katoto ambako wamekakuza na wamekaona kanakua na ghafla anabadilika kuwa mke wao..yeye na ray
6. kanumba kaanza kutembea na huyo mtoto tangu akiwa na miaka 14, in short alianza kumnajisi miaka minne iliyopita..dogo alikuwa hamuogopi tena marehemu
6. hakuwa na maadili saa sita usiku anaenda club (usicheke)
Vijana acheni kuishi maisha ya anasa kama wasanii wengi wanavyoishi. Hivi marehemu angekuwa amelala (hiyo saa sita ya usiku) yote hayo yangempata? Binafsi kifo hiki kimenisikitisha sana kwa vile bado alikuwa mdogo sana 28 yrs ndiyo maisha yanaanza halafu anakatika ghafla!! Ila ukweli ni kuwa maisha ya starehe aliyokuwa anaishi ni hatarishi sana. Saa sita za usiku ni muda wa mtu kuwa kitandani anapumzisha hekalu la Mungu sio kutoka kama tulivyomsikia seki akisema kwenye luninga. Poor Kanumba. He did not deserve to die at that tender age. Fundisho ni:- "Vijana mchunge style zenu za maisha, na mchague marafiki wazuri kwa tabia sio sura". Lulu angekuwa na tabia nzuri asingeenda nyumbani kwa mvulana saa sita za usiku na wasingegombana. Tunaambiwa chanzo cha mauti ya Kanumba ni ugomvi. Kijana chunga sana. Kanumba keshamaliza yake ila waliobaki wachukue somo kwenye msiba huu.
Both of y'all aren't serious!
okay...wewe uliye serious tueleze kosa lake ni nini ?
we are not joking and we are very very serious on this. on top of that It is sad to looseBoth of y'all aren't serious!