Kifo cha Kanumba: Ni uzembe tu? Sio Lulu!

Maaaan! JF ya miaka mitano nyuma...
 
Na huyo ni Waberoya wa miaka mitano nyuma, Waberoya wa leo usimshangae akiandika Makonda oyeeee!!
Hahahaa Matola wakati napitia huu uzi kuna mtu enzi hizo alikuwa timamu ila siku hizi nikijaaliwa kuingia humu huwa naruka mabandiko yake, kafyatuka mazima! Sijui watu zile akili nani kawashikia aisee! Kajisemea Paskali nchi hii uking'ang'ana na ukweli utaonekana an 'enemy of the people'
 
Leo pia ni kumbukumbu ya kifo cha Stephen Kanumba . RIP Stephen Kanumba
P
 

Bado tunakuhitaji uwasaidie “ mamia kwa maelfu wanaokosa huduma’hizo’ “!

Sio wote waliopo jela wana hatia ! Tuwasaidie Chief!

Keep your Word!!
 
Leo ni imetimia miaka 10, toka kifo cha nyota huyu wa Bongo Movies, Steven Kanumba, na mpaka Leo, sio tuu pengo lake halijazibika, bali hajapatikana star mwingine yoyote wa kuvaa viatu vyake vikamfiti.

RIP Steven Kanumba, tutakukumbuka milele!.
Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…