Kifo cha kweli cha Adolph Hitler: Hebu tuachane kwanza na ile ya kujiua kwa tindikali au kukimbilia kwake Argentina

North mzee baba Kashapoa ,Ntakuja na Nyuzi yake Hapa Insha'aallah
 
Wakuu naomba kuuliza kwanini Hitler alikuwa anaua wayahudi?
Lengo lake lilikuwa lipi hasa huyu jasusi?
Sababu halisi ni ya kiroho zaidi, lengo lilikuwa ni kuzuia kuanzishwa kwa taifa la Israeli, kwa kuwaua wayahudi, kwa wale wasiojua Israel ni saa ya dunia. kuna uwezekano yeye Hilter alikuwa anatumika bila kujua kama anatumika.
 
Sababu halisi ni ya kiroho zaidi, lengo lilikuwa ni kuzuia kuanzishwa kwa taifa la Israeli, kwa kuwaua wayahudi, kwa wale wasiojua Israel ni saa ya dunia. kuna uwezekano yeye Hilter alikuwa anatumika bila kujua kama anatumika.
Kivipi mkuu?
 
Huyu jamaa ana haki ya kujiuwa maana kama angeangukia kwenye mikono ya Stalin ingekuwa balaa,naimani kwa hasira za Stalin angeamua kumuingilia kinyume na maumbile na mwisho wa siku angempika supu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kivipi mkuu?
Shetani kupitia binadamu anaweza kupredict future ya dunia, kwa kuangalia nini kumeweka ndani yake, sasa dunia huwa inapita nyakati mbali mbali katika kuelekea mwisho wake,

baada taifa la Israeli kuwa limefutika katika uso wa dunia ilitabiliwa kuwa wayahudi watarudishwa nyumbani na kuanzisha taifa lao, maana yake dunia inaingia katika msimu mpya, sasa lengo la kuwaua wayahudi wote ni kujaribu kuzuia mpango wa Mungu wa kuanzisha taifa la Israeli.

Sasa Israeli inatumika kama saa ya kujua sasa tuko katika nyakati gani kuelekea mwisho wa dunia, na hii kwa sababu matukio mengi kuelekea siku ya mwisho yako ndani ya maisha ya taifa la Israeli.

Somson wa ndani ya biblia aliwaua wafilist kwa sababu alikuwa analipiza kisasi kwa kuwa walimpola mke wake, lakini ukweli ni alikuwa anatimiza kusudi la Mungu la kuwaua wafilist waliokuwa wwnawatesa wana wa Israel, yaani hiyo ndio ilikuwa kusudi lake,

kwa hiyo ni sawa Hilter alikuwa na sababu zake ila bila kujua kuwa lengo ambalo yeye alikuwa may be halijui ni kuzuia kuanzishwa kwa taifa la Israeli, ili dunia isiingie katika msimu mpya. Tatizo ni ngumu kuzuia kusudi la Mungu.
 
Sawa mkuu, shukraani kwa mchango wako
 
Sababu halisi ni ya kiroho zaidi, lengo lilikuwa ni kuzuia kuanzishwa kwa taifa la Israeli, kwa kuwaua wayahudi, kwa wale wasiojua Israel ni saa ya dunia. kuna uwezekano yeye Hilter alikuwa anatumika bila kujua kama anatumika.
Anhaa umenifumbua macho kidogo
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…