Kifo cha mama mzazi wa proffesor J

mbuyake

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
293
Reaction score
510
Mama mzazi wa msanii wa kizazi kipya Joseph Haule amefariki katika hospital ya Tumbi. Kifo chake kemetokana na ajali ya gari huko Mbezi ,alikuwa anaenda dukani upande wa pili wa barabara ndo akagongwa.
 
mama mzazi wa msani wa kizazi kipya joseph haule amefariki katika hospital ya tumbi kifo cchake kemetokana ns na ajari ya gari huknyo Mbezi ,alikuwa anaenda dukani upande wa ppili wa barabarA ndo aligongwa sourc

Pole sana Profesa J na familia kwa ujumla.RIP mama.
 
mama mzazi wa msani wa kizazi kipya joseph haule amefariki katika hospital ya tumbi kifo cchake kemetokana ns na ajari ya gari huknyo Mbezi ,alikuwa anaenda dukani upande wa ppili wa barabarA ndo aligongwa sourc

huyu mama kagongwa na gari,kachukuliwa na gari iliomgonga hadi polisi kuandikisha maelezo na kupewa PF3,na hapo polisi akapata hadi muda wa kuongea na mwanae kwa simu,kwahio alikuwa na hali fulani stable,baada ya hapo wakamchukua na BAJAJI kwenda hospitali tumbi,seriously BAJAJI??!!!
1.hii PF3 ishaua wangapi mpaka sasa???imagine kama yule aliemgonga angemuwahisha hospitali straight si wangeweza kuokoa uhai wa huyu mama?
2.akili gani inawaambia, whoever decided,wampeleke mgonjwa na bajaji badala ya gari???
kuna uzembe unatokea tanzania tu kwa kweli,na hamna anaewajibika na mambo kama haya,life goes on...
 
Kwa ninavoijua foleni ya dar to kibaha nadhani bajaj ilifaa maana inaweza kupenya!! Anyway PF3 inatatizo Kubwa ni kitanzi cha wengi sijui hio formwalioitunga hio Sheria Kama sio utaratibu walikua na fikira gani!! Rest in Peace mama Prof Jay!
 
Rest in Peace mama. Kweli hizi ajali za barabarani zitatumaliza sana. So sad.
 
Pole sana Prof wa Muziki na familia kwa ujumla,
RIP Mama!
 
Pole Prof J na familia Mungu amlaze mahala pema peponi Mama
 
Mbaya sana jamani,
Pole sana profesa j,
pole sana wafiwa wote,
R.I.P. mama
 
Kwa ninavoijua foleni ya dar to kibaha nadhani bajaj ilifaa maana inaweza kupenya!! Anyway PF3 inatatizo Kubwa ni kitanzi cha wengi sijui hio formwalioitunga hio Sheria Kama sio utaratibu walikua na fikira gani!! Rest in Peace mama Prof Jay!

lakin kama ni mbezi kwenda tumbi kwa bajaj jamani ni kumtesa mgonjwa. mbona ni mbali haklafu bajaj haiko stable na haya malori ya morogoro rd??
anyways naassume kapelekwa kituo cha polis mbez mahali ambapo wangeweza kumtafutia gari ingine impeleke mgonjwa hosp. ama la wange mpelekakituo cha masista kupata huduma ya kwanza na kucontrol vitu muhimu ili waweze kumpeleka tumbi salama. kuna uzembe umetokea hapa
 
mama mzazi wa msani wa kizazi kipya joseph haule amefariki katika hospital ya tumbi kifo cchake kemetokana ns na ajari ya gari huknyo Mbezi ,alikuwa anaenda dukani upande wa ppili wa barabarA ndo aligongwa sourc

RIP mama Jay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…