ERICK GERVAS Member Joined Jan 8, 2013 Posts 7 Reaction score 2 Jun 3, 2013 #1 hivi ni kwa nini wasanii wa Bongo wa kizazi kipya hawataki kuwa na umoja, hasa kwenye tukio la msiba wa mpendwa wetu. Albert Mangwea? hebu mjifunze ushirikiano toka Bongo Movie.
hivi ni kwa nini wasanii wa Bongo wa kizazi kipya hawataki kuwa na umoja, hasa kwenye tukio la msiba wa mpendwa wetu. Albert Mangwea? hebu mjifunze ushirikiano toka Bongo Movie.
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,697 Reaction score 15,497 Jun 3, 2013 #2 wamefanyaje hawa wa bongo flava na wa bongo movie huwa wanafanyaje!
Twilumba JF-Expert Member Joined Dec 5, 2010 Posts 12,576 Reaction score 14,522 Jun 3, 2013 #3 Na wewe na akili zako, unalinganisha income ya wasanii wa bongo movie na bongo flava? wanashirkiana lkn kwa uwezo walio nao!
Na wewe na akili zako, unalinganisha income ya wasanii wa bongo movie na bongo flava? wanashirkiana lkn kwa uwezo walio nao!
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,649 Jun 3, 2013 #4 ​nini kwani????