Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana amefia Muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu baada ya ajali ya gari. R.I.P Prof. Mutakyahwa
mtu akifa kafa tu awe prof,kuli,konda nk mazishi ya heshima au ya kawaida ni mbwembwe za walimwenguhawa ndo watu wanaostahili mazishi ya heshima sio wale wahuni wengine wanaoendelea kutuharibia kizazi kijacho. R.I.P prof kama sio tetesi.
mtu akifa kafa tu awe prof,kuli,konda nk mazishi ya heshima au ya kawaida ni mbwembwe za walimwengu
hawa ndo watu wanaostahili mazishi ya heshima sio wale wahuni wengine wanaoendelea kutuharibia kizazi kijacho. R.I.P prof kama sio tetesi.
Mazishi yatafanyika kesho j. nne ya tar. 10/04/2012 shambani kwake Makongo. Msiba upo nyumbani kwake chuo kikuu cha dar es salaam lamboni house no. 10.Rest in Peace Prof,ulikuwa ni jembe la ukweli.Industrial minerals,Mazishi wapi na lini?
mtu akifa kafa tu awe prof,kuli,konda nk mazishi ya heshima au ya kawaida ni mbwembwe za walimwengu
aisee kama ni huyo basi mungu anisamehe nimecopy na kupasteinasemekana amefia muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu baada ya ajali ya gari. R.i.p prof. Mutakyahwa