Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Polisi nchini Brazil wamewakamata wanaume watatu kuhusiana na mauaji ya kikatili ya mhamiaji wa Congo mjini Rio de Janeiro.
Mauaji hayo yaliyonaswa kwenye video yamesababisha ghadhabu ya umma.
Jamaa wanasema Moise Kabagambe alishambuliwa baada ya kumtaka bosi wake alipe mshahara anaodaiwa kwa kazi ya siku mbili kwenye kibanda cha ufukweni.
Kanda hiyo ilionyesha akipigwa mara kwa mara na wanaume watatu wenye vilabu na gongo la besiboli.
Meya ya Rio, Eduardo Paes, ametaja mauaji hayo "isiyokubali na ya kuasi".
Mama yake alisema famili yake ilifanikiwa kutoroka ghaisa na machafuko kwao nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo - lakini mwanawe ameishia kutendewa matukio sawa na hayo huko Brazil.
Mauaji hayo yaliyonaswa kwenye video yamesababisha ghadhabu ya umma.
Jamaa wanasema Moise Kabagambe alishambuliwa baada ya kumtaka bosi wake alipe mshahara anaodaiwa kwa kazi ya siku mbili kwenye kibanda cha ufukweni.
Kanda hiyo ilionyesha akipigwa mara kwa mara na wanaume watatu wenye vilabu na gongo la besiboli.
Meya ya Rio, Eduardo Paes, ametaja mauaji hayo "isiyokubali na ya kuasi".
Mama yake alisema famili yake ilifanikiwa kutoroka ghaisa na machafuko kwao nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo - lakini mwanawe ameishia kutendewa matukio sawa na hayo huko Brazil.