Kifo cha Rais Magufuli: Wanyonge na Walalahoi wanajua walichopoteza

Ila Tundu Lissu anachekesha sana,nasikia anasema yeye ndio Rais wa 7 wa Jamhuri,Mwana kulitafuta.
Thubutuuuu
Mavi ya mende
Mkojo wa popo
Mavuzi ya bata

Hawez weka makalio yake ikulu
Kwanz yashazoea kupakatwa
 
Ila Tundu Lissu anachekesha sana,nasikia anasema yeye ndio Rais wa 7 wa Jamhuri,Mwana kulitafuta.
Thubutuuuu
Mavi ya mende
Mkojo wa popo
Mavuzi ya bata

Hawez weka makalio yake ikulu
Kwanz yashazoea kupakatwa
 
Uliposema tu Lissu msaliti ndo nimeishia kusoma, kumbe porojo tu.
Ukiulizwa alichosaliti Lissu unaweza kujibu?
Angekuwa siyo huyo Lissu ungejua kama Rais alikuwa mgonjwa?
 
Unajua mpaka leo bado sijajua Mtanzania mnyonge ni nani haswa
 
Ila Tundu Lissu anachekesha sana,nasikia anasema yeye ndio Rais wa 7 wa Jamhuri,Mwana kulitafuta.
Alisema wapi??? Angekuwa raisi vipi wakati kura zilipigwa siku mbili kabla zote zikimpa ushindi marehemu? Unakumbuka kilichotokea ofisi za Ccm kinondoni? Watoto walipelekwa pale wakaahidiwa kupewa 5000/= ili wapiga kura za ndiyo kwa MAGUFULI! Mpaka leo hawajapewa
 
Nimeosoma hadi hapo uliposema "... mwokozi wao ...". imenibidi niishie tu hapo.

Mwokozi wangu ni Yesu na sio mwingine awaye yote.



YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Hakuna fahari yoyote kujinasibu na utumishi ktk nchi hii.
Tumefika hapa kwa sababu yenu
Sote tunajua jinsi mlivyo incompetent, wazembe, msio na ubunifu, wezi, wala rushwa na mafisadi nyie.. Bahati yenu kubwa ni kwamba madhambi yenu wametwishwa wanasiasa hususan chama tawala
Tunailia MAGU kwa sababu ndio alifanikiwa kuwabana kidoogo
 
Reactions: Ame
CCM MMEJAWAJINGA SANA KWAIYO MNAFRAHIA KUONGOZA MASIKINI?

Na unyonge maana yake ni ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…