Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Mwana Bongo Movies amejitokeza na kufunguka kuhusu yeye kushika mimba na kuzaa Jisomee hapa chini alichosema:"Najua ni Wajibu Wetu kuzaa ila nimekuwa muoga sana wa kushika mimba kwa sababu naogopa kuzaa na nikikumbuka kifo cha Recho ndio Kabisa Hofu Inazidi
Naitaji Mtoto ila si leo wala kesho nahitaji kujenga ujasiri upya , ila kama ikitokea nitajitahidi kuvumilia"
Mpaka sasa alizotoa zimefikia ngapi?....
Uzazi wenyewe anao mbwembwe tu
Mwenzangu huyo kizaz hana, anatafut tu sababu, mfyuuu
Kwa hiyo kabla ya recho alikuwa hajawahi kuskia vifo vya uzazi?