Na Yesu aitwe Yesu!!Jamani hebu tuache MUNGU aitwe MUNGU!
acheni kupayuka jana, juzi na siku za nyuma mlikua mnawataja hao mapedee wenye uzto kuliko kanumba na aliesababisha hayo yote ni lulu kwa ukahaba wake. Waligombana kwa ajili ya cm je alikua anaongea na baba yake akitaka kujua kama bdo yuko tution? Msilete za mkutwa na ngozi ndo mwizi. Ni wangap Tz wanafanya ivo. Huyu kindegaten hakua na shida ya hela bali ni pepo la uzinzi.
Lakucha mbe...
wanaume wote tunafanya ngono,bora yeye kwake sisi kwenye ma guest
Apo sasa... mambo mengine bora kunyamazaWakati lulu anatembea uchi wa mnyama mlimwona ni mtu mzima ati eeh. acheni unafiki.