Kifo cha Yanga chaja

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
kuna vijitu njaa vinajidai vinataka demokrasia yanga ni vijitu vyenye njaa vijizi wanaleta figisifigisu wamejikusanya wamechochea BMT mpaka wamejichukulia madaraka kusimamia eti uchaguzi wa yanga hata ukiwauliza BMT watoe wanachama wanaodai uchaguzi hawana zaidi ya kusikia majungu tu.
cha ajabu wanalazimisha pamoja na timu bado ipo kwenye mashindano ili ivurugike akina manji waonekane hawafai.

Yangu kuweni makini na yanga njaa na wengi wao ni viongozi ambao waliowahi kuongoza na ndio wanaleta vurugu hiyo
 
Yanga walipaswa kufanya uchaguzi zamani, ni ajabu wameweza kuendesha klabu bila uchaguzi hadi sasa! walipaswa kujitengezea utaratibu mzuri tu wa kuendesha uchaguzi kwa muda walioutaka wenyewe, na kumfanya Manji aendelee kuwa mwenyekiti halali bila tatizo lolote. Huu ndio utaratibu mzuri wa utawala bora.

Kitendo cha kuendesha mambo kienyeji bila sababu za lazima kinakaribisha kuingiliwa kwa namna hii. Yanga hawana namna zaidi ya kufanya uchaguzi. Walishindwa kutumia vzr kipindi cha 'amani' hawawezi tena kuwa na 'hiyari' kipindi kama hiki
 

What is democracy?
 
Hahaha
Huu uchaguz alaf una fanyika time mbaya
 
Chakushangaza uchaguzi wa safari hii unasubiriwa/kutakiwa kwa hamu kubwa sana na mashabiki na wanachama wa Simba kuliko Yanga wenyewe.
 
Chakushangaza uchaguzi wa safari hii unasubiriwa/kutakiwa kwa hamu kubwa sana na mashabiki na wanachama wa Simba kuliko Yanga wenyewe.
Tunasubiri kuona mtakavyo msujudia Bwana wenu Manji.
 
tunataka tuchukue ubingwa kwanza kwa mbeya city ndio tufanye uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…