Yanga walipaswa kufanya uchaguzi zamani, ni ajabu wameweza kuendesha klabu bila uchaguzi hadi sasa! walipaswa kujitengezea utaratibu mzuri tu wa kuendesha uchaguzi kwa muda walioutaka wenyewe, na kumfanya Manji aendelee kuwa mwenyekiti halali bila tatizo lolote. Huu ndio utaratibu mzuri wa utawala bora.
Kitendo cha kuendesha mambo kienyeji bila sababu za lazima kinakaribisha kuingiliwa kwa namna hii. Yanga hawana namna zaidi ya kufanya uchaguzi. Walishindwa kutumia vzr kipindi cha 'amani' hawawezi tena kuwa na 'hiyari' kipindi kama hiki