Kifo nisaa ngumu sana isio eleweka kwa akili ya kawaida

Mkuu una hoja unapaswa usikilizwe. Tafadhali mwaga utilio wa kutosha ili utupatie ukombozi wa kifikra kutoka kwenye makucha ya mafundisho ya dini za kuletewa
 
jambo zuri kabisa hili lakini halijajitosheleza vizuri tufanye umoja basi tuweke pesa ili kufanya hizi tafiti nazani itasaidia sana kuja na majibu ambayo angalau yatafungua faham za watu walio wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…