Mwanaume kifua bana. Tena ukute kapigilia bodi suti yani lazima mkitembea mtaani wahuni wakuheshimu maana wanajua jamaa atawatembezea kichapo. Kweli fanyeni mazoezi ya kukaza misuli unakuta wengine vifua vipana lakini tumbo kule. Kifua kinapendeza kama na tumbo pia ni la pingili. Naona JF imeamua kuchambua wanaume.
sasa utampenda m2 kw facta ip ka hajakuvutia kwa body mor4log ?Ah!cku hz utandawazi huamulia watu aina ya wapenzi.mfano km matangazo ya magharibi yanaonesha wanaume mwenye misuli na vifua vpana au wanaume warefu,bas wanawake wa huku kwe2 wote nao watapenda wanaume wa aina hyo.hali iko hvyo hvyo kwa wanaume,km matangazo yataonesha wanawake wembamba na weupe basi wanaume wote watapenda wanawake wenye cfa hzo wakidhan kua mwanake mzuri lazma awe mweupe na mwembamba,kumbe c kweli!2natawaliwa ht kihisia na watu wa magharibi.u2mwa ulioje huu?hvyo kaka wanawapenda kwa 7bu wanapoangalia wa2 wa magharibi kwny luninga wanaona hivyo fifua ndo mana nao wanapenda.na c kupenda haswa ila ni KUTAMAN.mwanamke anaekupenda kwa 7bu ya umbile lako{body morphology}ni tapeli,jambazi,kibaka,fisadi,mchakachuaji na haramia wa wapenzi ,so watch out bro!usije ukalia mdomo juu km mbwa koko!
Binafsi huvutiwa na mwanamme mwenye makalio yaliotokeza na si pasi wala si kifua kipana.
Wao si wanajidai wanapenda makalio? na mie (kabla ya kutubu) nilikuwa nikiyapata siyaachii nayachezea inavyotakiwa haswa. Aaah babu nipitwe? Eeeh nyie watoto, msiache tukasema mengi humu, Toba ya Raabi
Wao si wanajidai wanapenda makalio? na mie (kabla ya kutubu) nilikuwa nikiyapata siyaachii nayachezea inavyotakiwa haswa. Aaah babu nipitwe? Eeeh nyie watoto, msiache tukasema mengi humu, Toba ya Raabi
Mmmmh
Something is not ok with you
Whether you are a man or a woman
Umenikumbusha Womens World Cup inayoendelea kule Germany kuna kipa wa Paraguay ana jinsia mbiliMmmmh
Something is not ok with you
Whether you are a man or a woman
Umenikumbusha Womens World Cup inayoendelea kule Germany kuna kipa wa Paraguay ana jinsia mbili
No one is perfect, that's why pencils have erasers.
Umenikumbusha Womens World Cup inayoendelea kule Germany kuna kipa wa Paraguay ana jinsia mbili
Mimi hata sijui napenda nini..
Fellow tablet naomba uhusiano wako na hii srediNdugu zangu wanaJF,kuna mtindo siku hz wa akina dada kupenda wanaume wenye vifua vipana regardless ana sura nzuri au mbaya,hv ni nini hasa kinachowavutia wanawake kwa wanaume wenye vifua vikubwa? Ningepata comments nyngi zaidi kutoka kwa wahusika wenyewe ingependeza zaidi,nawasilisha bandugu!!
mh! labda unapenda mpododo mkubwa! mie thimo
Preta ka saita, laway ama, watu hawali nyama wala kunywa maziwa ya kutosha these days to be tall, chips, chips, stop utavimba tu ila hurefuki, ila genetics inachangia pia, hi to all tall people plus pretahe he he......Kericho ndio hicho hasa, halafu kirefu 6ft kiko kama Mr President (jf member)....teh teh teh
Ah!cku hz utandawazi huamulia watu aina ya wapenzi.mfano km matangazo ya magharibi yanaonesha wanaume mwenye misuli na vifua vpana au wanaume warefu,bas wanawake wa huku kwe2 wote nao watapenda wanaume wa aina hyo.hali iko hvyo hvyo kwa wanaume,km matangazo yataonesha wanawake wembamba na weupe basi wanaume wote watapenda wanawake wenye cfa hzo wakidhan kua mwanake mzuri lazma awe mweupe na mwembamba,kumbe c kweli!2natawaliwa ht kihisia na watu wa magharibi.u2mwa ulioje huu?hvyo kaka wanawapenda kwa 7bu wanapoangalia wa2 wa magharibi kwny luninga wanaona hivyo fifua ndo mana nao wanapenda.na c kupenda haswa ila ni KUTAMAN.mwanamke anaekupenda kwa 7bu ya umbile lako{body morphology}ni tapeli,jambazi,kibaka,fisadi,mchakachuaji na haramia wa wapenzi ,so watch out bro!usije ukalia mdomo juu km mbwa koko!
6.6 without shoes Preta utajua is a best height all over the world, but hii picture kidogo haifanani na mm, i have arabic hair ( somali hair) with long nose, but skin kidogo is ok, u know wairaqw wana light skin, & a nice, nice face, just like Obama, ukiniona utasema somali 100% but i am ur bro. Thankshe he.....huyu hapa......View attachment 33563
Caro sasa weye upo wapi?
mpododo mkubwa hapana, kifua nacho hapana,
sasa upo wapi weye?