Kifua kipana/kikubwa kwa mwanaume kinawavutia nini akina dada?



habari yako big house......?

haya bana, wengine wanapenda kifua kipana, wengine wanataka mtalimbo wa haja, wengine ................kweli kazi ipo!
 
sasa utampenda m2 kw facta ip ka hajakuvutia kwa body mor4log ?
 
Wao si wanajidai wanapenda makalio? na mie (kabla ya kutubu) nilikuwa nikiyapata siyaachii nayachezea inavyotakiwa haswa. Aaah babu nipitwe? Eeeh nyie watoto, msiache tukasema mengi humu, Toba ya Raabi

ha ha ha FaizaFoxy nimecheeka mie
 
Wao si wanajidai wanapenda makalio? na mie (kabla ya kutubu) nilikuwa nikiyapata siyaachii nayachezea inavyotakiwa haswa. Aaah babu nipitwe? Eeeh nyie watoto, msiache tukasema mengi humu, Toba ya Raabi

Mmmmh
Something is not ok with you
Whether you are a man or a woman
 
Mmmmh
Something is not ok with you
Whether you are a man or a woman
Umenikumbusha Womens World Cup inayoendelea kule Germany kuna kipa wa Paraguay ana jinsia mbili
 
No one is perfect, that's why pencils have erasers.

Kila binadamu ana kichaa, ila tunatofautiana viwango.
Kuna wale wenye viwango vya juu ambao kwa matendo yao kila mtu atamshangaa . . . .
. . . . na kuna wale ambao wana viwango vya kawaida ambao matendo yao hayashangazi watu
Hope you will use your Eraser now
 
Fellow tablet naomba uhusiano wako na hii sredi

There are currently 20 users browsing this thread. (5 members and 15 guests)
 
he he he......Kericho ndio hicho hasa, halafu kirefu 6ft kiko kama Mr President (jf member)....teh teh teh
Preta ka saita, laway ama, watu hawali nyama wala kunywa maziwa ya kutosha these days to be tall, chips, chips, stop utavimba tu ila hurefuki, ila genetics inachangia pia, hi to all tall people plus preta
 


Hapo nakubalian ana wewe kabisa, kabla sija kwenda USA sikua na ona kuwa na six pax ni big del kwanza nilikua si notice kabisa, ila siku hizi najitesa sana kupiga situps ili zisiondoke. yote sababu ya umagharibi tunao iga.
 
Mmmmhhhh
Muhimu, muhimu, muhimu sana..
Kama vile wanaume hawapendi mwanamke
Mwenye kitambi au out of shape.... na sisi
Tuna choice zetu....
 
Preta ka saita, laway ama, watu hawali nyama wala kunywa maziwa ya kutosha these days to be tall, chips, chips, stop utavimba tu ila hurefuki, ila genetics inachangia pia, hi to all tall people plus preta

he he.....huyu hapa......
 
he he.....huyu hapa......View attachment 33563
6.6 without shoes Preta utajua is a best height all over the world, but hii picture kidogo haifanani na mm, i have arabic hair ( somali hair) with long nose, but skin kidogo is ok, u know wairaqw wana light skin, & a nice, nice face, just like Obama, ukiniona utasema somali 100% but i am ur bro. Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…