Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe kwenu katika bwana wapendwa
Kama kichwa cha habali kilivyo hapo juu..
Kwanini wasanii wetu kwa sasa kila siku wanaachia ngoma mpya kuna huko mbelen wanajiandaa na nini yaan na kitu gan
Je au kuna tamasha huko mbelen au uchaguz umekalibia kwa ajili ya show
Je au kuna tunzo zinakuja huko mbelen
Naomba kujua maana nimechoshwa na utitiri wa ngoma mpya kila siku
Nawasilisha
LONDON BABY
Kama kichwa cha habali kilivyo hapo juu..
Kwanini wasanii wetu kwa sasa kila siku wanaachia ngoma mpya kuna huko mbelen wanajiandaa na nini yaan na kitu gan
Je au kuna tamasha huko mbelen au uchaguz umekalibia kwa ajili ya show
Je au kuna tunzo zinakuja huko mbelen
Naomba kujua maana nimechoshwa na utitiri wa ngoma mpya kila siku
Nawasilisha
LONDON BABY