Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kifungo cha miaka minne cha Paul Pogba kutojihusisha na soka baada ya kudaiwa kutumia dawa za kusisimua misuli kinyume na taratibu za soka, kimepunguzwa hadi miezi 18 baada ya kufanikiwa kukata rufaa katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo.
Pogba sasa ataweza kurejea tena kuichezea Juventus kuanzia Machi 2025 na kuendelea baada ya kufungiwa kujihusisha na masuala ya soka hadi Agosti 2027.
Pogba sasa ataweza kurejea tena kuichezea Juventus kuanzia Machi 2025 na kuendelea baada ya kufungiwa kujihusisha na masuala ya soka hadi Agosti 2027.