Kifungua kinywa

Kifungua kinywa

Pretty

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2009
Posts
2,577
Reaction score
565
......Leo na mie nawaletea kifungua kinywa, ni rahisi sana kuandaa na vile vile ni healthy.
Unatakiwa kuwa na vitu vifuatavyo,
-mayai 2
-vijiko 2 vya maziwa ambayo ni fat free.
-vijiko 2 vya margarine
-slice 4 za mkate, vizuri zaidi ikiwa whole wheat bread.
-fresh apple,peaches au tunda lolote utakalolipenda.
-vijiko 2 vya sukari.

Jinsi ya kuandaa.
-Chukua mayai yako na maziwa changanya kwenye bakuli kubwa na yapige pige.
-Pasha moto skillet on medium heat.
-Ongeza vijiko 2 vya margarine kwenye skillet.
-chukua vipande vya mkate na uvitumbukize kwenye mchanganyiko wako wa mayai na maziwa.
-Pika kwa kila upande hadi iwe rangi ya brown.
-Osha matunda yako na uyakate kate
-chukua matunda na uweke juu ya toast yako.
-chukua sukari na isambaze.
Hapo frech toast with fruits itakuwa tayari kwa kuliwa.
-
 
Back
Top Bottom