Linini ilo?
Wat is zis.........?
Linini ilo?
Kifurukobe kama jina lake akichoka kutembea anatafuta mteremko anajiviringa anakuwa kama duara anajiachia
Akimuona adui anajiviringa anakuwa kama kitufe huwezi jua kama ni kiumbe hai
Ufikifika usiku anajiviringa ngozi/gamba lake la nje linakuwa kama kitanda au nyumba anachapa usingizi kwa raha zakwe
Na huyo ndio kifurukobe kama jina lakwe
Umeamua kufufua uzi wako sio😂😂, 9years agoDunia ina vingi ambavyo hatujaviona vyote
Brother to seeWat is zis.........?
Brother to seeLinini ilo?