Kifusi usawa wa magoti katika nyumba ya vyumba vitatu kimoja master, corido na Choo public

Kifusi usawa wa magoti katika nyumba ya vyumba vitatu kimoja master, corido na Choo public

Eliud Bunju

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
356
Reaction score
666
Ebhana kumbe kifusi kina balaa hivi hapa kichwa kinauna balaa nataka kukwangua udongo kiwanja chote kwenye sehem zilizoinuka inuka

Nikimaliza hapo nitaangalia nifanyeje maana nataka kuhamia kwa kutumia Choo cha pipa mbili.

Mfuko wangu nimejenga bajeti ya 350000 + 860000 kwajili ya milango (double door moja Kwa 200000/= gril WA sebuleni na single door 150000/= wa kibalaza cha jiko pamoja na madirisha ya gril 8 na mawili ya chooni.

Nampango WA kuanza hio KAZI kesho naenda site mwenyewe kukusanya udongo angalau chepe moja moja kila hatua.
 
Afadhali ya wewe kifusi mimi fundi aliniambia kifusi kwa ghorofa sio poa kwa vile kinavimba na kusukuma kuta akasema mchanga ndio unafaa hivyo nimetumia lori kubwa kabisa kumi na moja kujaza msingi ..yaani msingi hadi zege jamvi la ghrofa ya kwanza ni Zaidi ya 100 mil
 
Back
Top Bottom