Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Lema aendelee kuwafungia gesti house wajumbe wake feki, vitambulisho watapokelewa huko huko gest πNaibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bara. Benson Kigaila akitoa ufafanuzi wa taarifa za baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama hicho unaotarajiwa kufanyika kesho, kunyimwa vitambulisho.
Ben Kigaila acha uzinguziNaibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bara. Benson Kigaila akitoa ufafanuzi wa taarifa za baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama hicho unaotarajiwa kufanyika kesho, kunyimwa vitambulisho.
Soma Pia: Wajumbe wanaomuunga mkono Lissu wanyimwa vitambulisho ili kesho washindwe kufika mkutanoni, kipigo kizito kimeahidiwa kwa wasiofuata utaratibu
Lema anamkosesha ushindi Lisu kwa kiujanza na kumpatia mbowe kirahisi, lakini pia anawakoseha wajumbe fursa na haki yao ya kikatiba kupiga kura kwenye mkutano mkuu wa chadema taifa.Godi Lemaa Rasta
Wanatia aibu kwa kweli. Ni wazushi kwa kweli.Lema aendelee kuwafungia gesti house wajumbe wake feki, vitambulisho watapokelewa huko huko gest π
Wanatia aibu kwa kweli. Ni wazushi kwa kweli.
Amandla...