LGE2024 Kigamboni: CCM wararuana wenyewe kwa wenyewe. Vurugu zapamba moto kwenye Uchaguzi wa ndani ya chama

LGE2024 Kigamboni: CCM wararuana wenyewe kwa wenyewe. Vurugu zapamba moto kwenye Uchaguzi wa ndani ya chama

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu ni rasmi sasa mnara wa babeli wa CCM unaaanza kuanguka.

Huko Kigamboni kwenye mkutano wao wa ndani ya chama umevurugika na kumetokea vurugu wakati wapo kwenye mchakato wa kura za maoni.

Soma Pia: Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani



Hii ni ishara kuwa hata ndani ya chama CCM bado kuna mtafaruku na mambo hayako shwari kama tunavyoaminishwa.

Kwa niaba ya Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable na johnthebaptist ningependa kufunga uzi huu kwa kuweka video hapo chini.

Nawasilisha
 
Wakuu ni rasmi sasa mnara wa babeli wa CCM unaaanza kuanguka.

Huko Kigamboni kwenye mkutano wao wa ndani ya chama umevurugika na kumetokea vurugu wakati wapo kwenye mchakato wa kura za maoni.

Soma Pia: Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani



Hii ni ishara kuwa hata ndani ya chama CCM bado kuna mtafaruku na mambo hayako shwari kama tunavyoaminishwa.

Kwa niaba ya Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable na johnthebaptist ningependa kufunga uzi huu kwa kuweka video hapo chini.

Nawasilisha
Naam wizi mpaka ndani ya nyumba yako mwenyewe?!
 
Wakuu ni rasmi sasa mnara wa babeli wa CCM unaaanza kuanguka.

Huko Kigamboni kwenye mkutano wao wa ndani ya chama umevurugika na kumetokea vurugu wakati wapo kwenye mchakato wa kura za maoni.

Soma Pia: Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani



Hii ni ishara kuwa hata ndani ya chama CCM bado kuna mtafaruku na mambo hayako shwari kama tunavyoaminishwa.

Kwa niaba ya Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable na johnthebaptist ningependa kufunga uzi huu kwa kuweka video hapo chini.

Nawasilisha
Nafarijika sana hawa fisi wakitafunana wenyewe kwa wenyewe
 

Attachments

  • FB_IMG_1616545580714.jpg
    FB_IMG_1616545580714.jpg
    90.9 KB · Views: 7
Wakuu ni rasmi sasa mnara wa babeli wa CCM unaaanza kuanguka.

Huko Kigamboni kwenye mkutano wao wa ndani ya chama umevurugika na kumetokea vurugu wakati wapo kwenye mchakato wa kura za maoni.

Soma Pia: Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani



Hii ni ishara kuwa hata ndani ya chama CCM bado kuna mtafaruku na mambo hayako shwari kama tunavyoaminishwa.

Kwa niaba ya Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable na johnthebaptist ningependa kufunga uzi huu kwa kuweka video hapo chini.

Nawasilisha
Nawahakikishieni, CCM kwa sasa ni chama cha shetani. Hakuna jema linaweza kupatikana ndani ya CCM.
 
Kuna sehemu polisi wamerusha mabomu ya machozi kuamua ugomvi wa makada mahasimu
 
Huku kwetu uchaguzi umehahirishwa,yaan wagombea wawili wameleta tafran karibia wapigane wakati hao jamaa watoto wao wameoana lakin leo walijifanya kama hawajuani
 
Wakuu ni rasmi sasa mnara wa babeli wa CCM unaaanza kuanguka.

Huko Kigamboni kwenye mkutano wao wa ndani ya chama umevurugika na kumetokea vurugu wakati wapo kwenye mchakato wa kura za maoni.

Soma Pia: Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani



Hii ni ishara kuwa hata ndani ya chama CCM bado kuna mtafaruku na mambo hayako shwari kama tunavyoaminishwa.

Kwa niaba ya Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable na johnthebaptist ningependa kufunga uzi huu kwa kuweka video hapo chini.

Nawasilisha

Ndugu wananchi,
Friends, ladies and gentlemen,
Each and everything within CCM opinion polls processes are under control.

hakuna haja ya kubabaika na taharuki zinazosambazwa mitandaoni na wasio husika nazo eti mambo ya mchujo katika kura za maoni yamekwama. No, that's not true.

Mambo yamekwenda vizuri mno, wagombea uongozi makini wamepatikana kwa haki na amani sana maeneo yote palipofanyika zoezi hilo.

ifahamike wazi kwamba,
CCM ina utaratibu wake wa kura za maoni, sheria na kanuni za teuzi kwa wagombea wake wa nafasi mbalimbali za uongozi ikiwa ni pamoja na serikali za mitaa na vijiji.

Napenda kukiri kua,
kasoro na dosari ndogo ndogo katika uchaguzi ni jambo la kawaida sana, na hutokea katika maeneo machache sana ikiwa ni ndani ya CCM. Na kwa kiasi kikubwa hudhibitiwa, husahihishwa na kurekebishwa na hatimae huchaguzi au uteuzi huo hukamilishwa.

Nitoe wito kwa wadau wa demokrasia nchini, hususani wa humu jukwaani kuepuka na kubabaika dosari na kasoro kidogo zilizotokea kwenye maeneo mawili tu kati ya maeneo mengi sana yaliyofanya kura za maoni.

taarifa ya chama itaeleza kwa kina zaid, hatua muafaka zilizochukuliwa 🐒
 
Wakuu ni rasmi sasa mnara wa babeli wa CCM unaaanza kuanguka.

Huko Kigamboni kwenye mkutano wao wa ndani ya chama umevurugika na kumetokea vurugu wakati wapo kwenye mchakato wa kura za maoni.

Soma Pia: Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani



Hii ni ishara kuwa hata ndani ya chama CCM bado kuna mtafaruku na mambo hayako shwari kama tunavyoaminishwa.

Kwa niaba ya Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable na johnthebaptist ningependa kufunga uzi huu kwa kuweka video hapo chini.

Nawasilisha
Na mwakani ndio kivumbi watakapokatalia kuchapisha fomu moja ya Urais na kupelekea kila nafasi iwe na ushindani.
 
Chama bado kina wafuasi wengi sana.

Upinzani mna safari ndefu ya kupambana na hawa watu ambao wapo tayari kwa lolote ili mradi wakitumikie chama.
 
Back
Top Bottom