Kigamboni kama unaenda Mji Mwema kuna masanduku ya dhahabu yamefichwa natafuta mtu tukayachukue

Dr wa Kaliua

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2020
Posts
1,634
Reaction score
3,833
Leo asubuhi mida ya saa kumi na moja
Kama ilivyokawaida yangu kufanya mazoezi.

Mara nyingi mbio na mwendo wa haraka kutoka kigamboni ferry mpaka mji mwema nilikuwa nakimbia ila kufika maeneno ya Malaika beach karibu na sherry ya lake oil jirani na Malaika school kama unaenda mjimwema unafika kongowe Wala njia ya kurudi mbagala unapitia uhasibu au kwa azizi Ally kabla ujafika uwanja wa taifa njia ya kwenda mbezi.

Au Barbara ya magari ya mikoani inategemea yanga na Simba watacheza lini mechi au mpaka Tanzania itakapopata uhuru au kama vita vya Russia na Ukraine inategemea wewe ni CCM au ACT Wazalendo.

Tafuta pesa wewe.
Acha kitonga.
 
Kaliua na Tabora kwa ujumla kuna vichaa wengi sana.

Mpaka MaDr ni vichaa.
 
Ugonjws wa akili sio mzuri
 
Mengine yapo Iringa,nyuma ya jiwe Gangilonga......njoo tukayachukue.
 
What type of weed you've been smoking?
What type of drinks you've been sipping?

From the song So into you.
 
Kwani huna ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…