Habari wapendwa, niliwahi uliza kati ya Goba & Kigamboni wapi pako poa.
Kutokana na uwepo wa jamaa zangu wengi maeneo ya kigamboni, nimeamua kwenda huko.
Sasa kisota na kibada ndo napawaza maana bei maeneo hayo zinaonekana hazipishani sana
Kwa uzoefu wenu kisota na kibada wapi panaFaa zaidi?
1. Changamoto & faida za kila eneo tajwa hapo, ili nione wapi patafaa zaidi.
Natanguliza shukrani[emoji120]
Kutokana na uwepo wa jamaa zangu wengi maeneo ya kigamboni, nimeamua kwenda huko.
Sasa kisota na kibada ndo napawaza maana bei maeneo hayo zinaonekana hazipishani sana
Kwa uzoefu wenu kisota na kibada wapi panaFaa zaidi?
1. Changamoto & faida za kila eneo tajwa hapo, ili nione wapi patafaa zaidi.
Natanguliza shukrani[emoji120]