Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Wakuu wakati zoezi la kupiga kura linaendelea katika maeneo mengi nchini. Baadhi ya maeneo wapiga kura wamendelea kutoa changamoto wanazokutana nazo.
Sasa Katika zoezi la kupiga kura kwa viongozi wa Serikali za Mitaa ambapo katika Mtaa wa Upendo Kigamboni jijini Dar, changamoto iliyoainishwa ni majina ya wapiga kura kutosomeka kwa urahisi kutokana na majina yaliyobandikwa karatasi ni ya nakala (copy).
Soma Pia: Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Changamoto nyingine waliyoainisha wapiga kura ni majina hayo kutopangwa kwa kufuata alfabeti.
Sasa Katika zoezi la kupiga kura kwa viongozi wa Serikali za Mitaa ambapo katika Mtaa wa Upendo Kigamboni jijini Dar, changamoto iliyoainishwa ni majina ya wapiga kura kutosomeka kwa urahisi kutokana na majina yaliyobandikwa karatasi ni ya nakala (copy).
Soma Pia: Dar es Salaam: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Changamoto nyingine waliyoainisha wapiga kura ni majina hayo kutopangwa kwa kufuata alfabeti.