ACha kuabudu ushirikina..Kama ni kibada labda maeneo yaliyopimwa ila sio kwenye squata kwa wenyeji wazaramo.
Ukijichanganya maeneo ya wazaramo na wapemba huko uswazi utaomba poo.
Kigamboni,mjimwema, kibada surveyed plots,mikwambe,twangoma,geza, dege,mbitu pako powa ila jitahidi usipakane na wazaramo ama wapemba labda nawewe uwe mlozi kama wao.
Bussiness gani inakufanya uende Posta kila siku? Toa mfano.Hapa naongea na watu wenye bizness na mihangaiko yao ya Mjini kila Uchao. Kwa wewe unayeshinda kwa Shemeji yako mguu juu ya meza na Rimoti ya DSTV mkononi hutonielewa Bw mdogo. Nenda kwenye mada za MMU
Mwasonga nzuri inaitwa Ngoma mapinduziVipi kuhusu mwasonga ni pazuri?
Mwasonga uzuri wake unaletwa kwa kuwa hakuna wazawa sana, Ngoma ipo tundusongani. Hata hivyo ni sehem nzuri kwa kutuliza familia yako na hata ufugaji kule utafaa. Mji unakuwa japo sio kwa Kasi ile tunayoitegemea.Mwasonga vipi nipazuri au nipige chini?
Hiv we kw akili zako pale maeneo ya Ma tank makubw ndio kigambon yote duh. Kigambon ni kubwa San Yan. Acha wale waliojiban pale karb na matank fany utembee kwnza MAWENI, MJI MWEMA. VIJIBWENI, GEZA, KISARAWE 2 , MWONGOZ, DEGE, CHEKA, MBUTU, MWASONGA, KIMBIJI, KIBADA, MIKWAMBE Aisee siwez kumaliz lkn ni wilaya kubw San. Pale industrial area ni kudog San. Na kigambon haina joto Kam wilaya nyngn sbb haijasongaman SanKigamboni Joto kwa sasa ni 36 Centgd.
Kigamboni kama humiliki gari unavuka na Panton ni kipengele, tumekaa kila siku tunawaombea lisitokee baya kwenye zile ferry zenu.
Kigamboni ikitokea Tsunami mtazikwa Baharini. Wakati wa kimbunga JOBBO watu walizikimbia nyumba.
Kigamboni imezingirwa na Fuel Tanks siku zikilipuka maaafa yatakua kiama.
Ada ya kuvuka kwenda Mjini na kurudi kwa mwezi elfu 90.
Kwa kifupi Kigamboni pako kushoto na kuishi huko endapo unaanza maisha na unamiliki gari ni kimeo sana.
Lkn pia kuishi Kigamboni kwa wale wazee wa RISK CALCULATION ni HIGH RISK ZONE.
Kwaheri
Yaan huyu ni sawa na amtishie mtu asiishi wilaya ya Ubungo kisa kuna Tanesco ambapo mitambo yake ikilipuka watu wanaokaa ubungo watakufa!!!Hiv we kw akili zako pale maeneo ya Ma tank makubw ndio kigambon yote duh. Kigambon ni kubwa San Yan. Acha wale waliojiban pale karb na matank fany utembee kwnza MAWENI, MJI MWEMA. VIJIBWENI, GEZA, KISARAWE 2 , MWONGOZ, DEGE, CHEKA, MBUTU, MWASONGA, KIMBIJI, KIBADA, MIKWAMBE Aisee siwez kumaliz lkn ni wilaya kubw San. Pale industrial area ni kudog San. Na kigambon haina joto Kam wilaya nyngn sbb haijasongaman San
Umeweza kumiliki gari buku jero ya kulipa darajani huwezi kukosaHuku hawatakiwi kukaa watu wa hali ya chini hasa wanaoanza Maisha,Usafiri wake ni mgumu sana.Ukiwana private car Ndio shida ingine,pantoni ulipe daraja ulipe kwenda nakurudi
Kumiliki gari na huku jero sio ishu mzee,Piga hesabu ya mwezi na Mwaka,hapo hujaweka service na mafuta.Umeweza kumiliki gari buku jero ya kulipa darajani huwezi kukosa