Kigamboni Wing: Special Thread

Amalinze

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2012
Posts
6,780
Reaction score
5,305
Habari wadau,

Hayo ni machache ninayoyajua,najua na wewe una mengine si mbaya nawe uka-share.
 
Daa ndugu kama umemaliza ivi kweli wewe ni wakigamboni lakini shule za msingi kama kigamboni,ufukoni ,tungi ,vijibweni,mawenzi,mjimwema,gazaulole Nk
Time za mpira wamiguu
Shababi,navy,bafanabafana,kk,fanja,tuamoyo,nanga,
daaa tulikuwa tukikutana kwenye panton lazima tujuane si sasaivi
Nawasilisha nkikumbuka ntaendelea
 

Mkuu heshima kwako nimeacha mengine muendelee kujazilizia,nimeona umetaja timu kubwa,KK nlikuwa nishaisahau ndugu ila nimeikumbuka kuna KSC pale AJAX,Timu ya Nanga ilikuwa ni noma,na pia usisahau Kupitia kwa Mzee ANKOL au MUSHI Kucheki Luninga wakitoa Nje hahaaaaaaa.
 

Pale maeneo ya hospitali kuu ya kigamboni panaitwaje???
 
Pale maeneo ya hospitali kuu ya kigamboni panaitwaje???

Panaitwa Kigamboni hivyo hivyo,Hiyo hospital ipo karibu na Kituo cha polisi pamoja na Club kakala....Ukienda Kulia kwenye ile njia unaelekea Kwa Chagani,ukienda kushoto unaelekea Tuamoyo.
 
Umesahau kwa wahaya nearby police
 
Narudi home baada ya Mishe Mishe Zangu.
 
Ofisi ya Serikali ya mtaa wa kigamboni-Hii Picha ilichukuliwa mwaka 2009.Hapo kwenye makuti ndio pamejengwa CLUB KAKALA.
 
Hapa ni Mjimwema,njia panda ya kibada,lami upande wa kushoto ni njia ya kwenda Kibugumo,mwongozo mpka kimbiji.
 
Panaitwa Kigamboni hivyo hivyo,Hiyo hospital ipo karibu na Kituo cha polisi pamoja na Club kakala....Ukienda Kulia kwenye ile njia unaelekea Kwa Chagani,ukienda kushoto unaelekea Tuamoyo.

Karibu na magengeni maarufu kwa "urasa"
 
Hizo picha inaonekana zimepigwa siku nyingi au?mbona kule vijibwen panapojengwa daraja na road la kisasa kumekucha sana
 
Kigamboni,tungi kwa mpalasinge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…