Uhusiano upo sanaaaaa tu mkiwa na njaa na mapenzi yanaondoka, utakuwa unawaza pesa tu ukijumlisha na njaa hata nanii kusimama itakuwa shida na mwanamke siku zote anataka security
Tuache kuwasingizia dada zetu,
Sijawahi kusikia msichana anauliza mshahara wa mchumba wake!
Atafahamu uwezo wako automaticaly kutokana na possesions zako!