Tulia wewe tunafukua tu!
Ishapita mbona..!!Kiberenge una tabu kweli kweli...
Basi acha besidei yako ya mwaka huu nikulipie uplatinamu memba...
Au basi.....π
Ishapita mbona..!!
Au fanya tuma tu niifanyie Mambo mengine kila siku keki ya taifa mnakula nyie tu..πSi itarudi tena...???
Platnum Member K Matata....
I might seem crazy for what am about to say.... Heheheheheeee wooooyooooo.... Naanza na cheko kubwaaa na kelee miingiiii aahahhahaahahaaaaa looh, ngoja nijaribu kuwa mtulivu na mpole kama hulka yangu ilivyo tofauti na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakiniambia niko mjanja mjanja, mtundu...www.jamiiforums.com
Au fanya tuma tu niifanyie Mambo mengine kila siku keki ya taifa mnakula nyie tu..π
π Umeanza kuruka!Kokorochi kwelikweli wewe...πππ
Keki ya taifa wanakula wakubwa..π
Subiri ukuwe mkubwa.
π Umeanza kuruka!
Kichura chura eeenhhh....πππππ
Chura anaruka ruka chura
Chura ana nesanesa chura....
Chura huyoooo jamani chura huyooo
Ila sio chura yule wa Behaviourist π π π€ͺ