TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari waheshimiwa!
Kuna kauli moja au msemo mmoja wa waswahili unasema mla nawe ndio mfa nawe.
Nawaomba waheshimiwa kwa nafasi zao walizoteuliwa na kuchaguliwa wasije kuwasahau vijana waliopigwa na mvua na jua na kukesha mpaka kunakucha kuakikisha ushindi unapatikana huwe wa goli la kichwa au la mguu.
Moja ya changamoto ya vijana kwa sasa ni ajira, viongozi mliopata nafasi nendeni mkabuni na mkatutengeneze ajira mpya.
Kuna vijana wazalendo waliowapigania naomba na nyinyi muwape vipaumbele muwapiganie ili kesho ijayo wawapiganie tena, ila msije kuwaona kama mbwa wa mawindo ambaye baada ya kukamata windo hana thamani tena.
Itakuwa fedhea sana mukiwaacha vijana wazalendo wanatanga tanga harafu ajira wakapewa wale wengine ili kesho waje kuitukana serikali, naomba uzalendo utumike kama kigezo cha kutoa ajira.
Kuna kauli moja au msemo mmoja wa waswahili unasema mla nawe ndio mfa nawe.
Nawaomba waheshimiwa kwa nafasi zao walizoteuliwa na kuchaguliwa wasije kuwasahau vijana waliopigwa na mvua na jua na kukesha mpaka kunakucha kuakikisha ushindi unapatikana huwe wa goli la kichwa au la mguu.
Moja ya changamoto ya vijana kwa sasa ni ajira, viongozi mliopata nafasi nendeni mkabuni na mkatutengeneze ajira mpya.
Kuna vijana wazalendo waliowapigania naomba na nyinyi muwape vipaumbele muwapiganie ili kesho ijayo wawapiganie tena, ila msije kuwaona kama mbwa wa mawindo ambaye baada ya kukamata windo hana thamani tena.
Itakuwa fedhea sana mukiwaacha vijana wazalendo wanatanga tanga harafu ajira wakapewa wale wengine ili kesho waje kuitukana serikali, naomba uzalendo utumike kama kigezo cha kutoa ajira.