Kigezo cha wasanii wengi Bongo kutotumia majina yao halisi

Kagondo

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
296
Reaction score
79
Tumezoea kwa wasanii wengi wa Bongo fleva / waigizaji (bongo move) kwa kuwajua kwa majina yao ya kisanii.

Wasanii wengi wamekuwa wanatumia kifupi cha majina yao halisi, ila wengine wanakuwa wanatumia majina tofauti kabisa.

Wengi huamini kuwa wangekuwa wanatumia majina yao halisia, wasingeweza kuwa na utofauti wa ki-status hapa town kama ilivyo hivi sasa, hivyo kutengeneza majina wanayotumia kwenye sanaa ya muziki, na kupelekea mashabiki wengi wa wasanii hawa kutojua kabisa majina yao haya,.

# Twambie jina halisi la msanii unayemjua na jina lake la kisanii
 
Nassibu Abdul- Diamond
Salma Jabu-Nisha
Fareed Kubanda-FidQ
 
Msanii inabidi kila ufanyacho kiwe na ubunifu ili uvute hisia za watu nafikiri ndio maana hata majina yao ni ya kisanii pia
 
Seleman msindi..Afande sele.
Juma mchopanga..jaymo
Omary ndimbo..ommy dimpoz
Elibariki....one incredible
Fatuma ....DJ fatty
Hamis ...mwanafa
Ambwene y...AY
Gwamaka....Gk
Self shaban..matonya
Rajabu..harmonise
 
Sio wasanii tu, hata humu ndani na wa kwanza ni wewe Kagondo unatumia a.k.a.
 
Ila hata was nje hawatumii majina yao pia
 
Wasanii wengi hawana baba, wanatumia majina ya Wajomba ama babu wazaa mama. Products of single familiy kama unabisha kaulize Mbowe Club.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…