Kigodoro chamfanya Wema asihudhurie BET awards

Hatari sana mkuu hela kitu kibaya sana asikuambie mtu, na namuona tu jamaaa mambo yake sasa kama angekuwa na hela sijui ingekuwaje, na yule mwenzie Tiny Dady na yeye? Maana hawa vijana wana behave kama kids

Ni sheedah
 
Pale ulipoamua kuirejesha hii thread ungetafuta kwanza updates za hapo juu manake Wema huyu huyu anavyopenda attention kweli angeweza kuiacha Red Carpet ya BET kwa tusababu tudogo kama huto hapo juu? Au alipogwa za uso kuhusu mambo ya Visa?
 
Pale ulipoamua kuirejesha hii thread ungetafuta kwanza updates za hapo juu manake Wema huyu huyu anavyopenda attention kweli angeweza kuiacha Red Carpet ya BET kwa tusababu tudogo kama huto hapo juu? Au alipogwa za uso kuhusu mambo ya Visa?

Sijakuelewa
 
Sijakuelewa
Nini hakijaeleweka? Post ni ya mwaka jana na umedai Wema hakwenda kwenye tuzo za BET kwa kuwa kulikuwa na sherehe ya rafiki yake! Ndipo nikahoji, hivi kweli Wema anavyopenda kuonekana anaweza kuacha kwenda kwenye tuzo za BET kwa ajili ya sherehe local? Sasa kwa kuwa hii thread ni ya muda na kisha umeirejesha, nilichotarajia ni update kwamba, (mathalani) imegundulika ambacho kilimfanya Wema asiende BET ni kwa sababu XYZ coz' bado kwangu haiingii akilini kwamba anaweza kuiacha Classic Red Carpet kwa ajili ya vigodoro!!!!
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…