Kigogo udom anaswa na madawa yadhaniwa kuwa ya kulevya

Kigogo udom anaswa na madawa yadhaniwa kuwa ya kulevya

SOLOGWIGABA

Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
22
Reaction score
0
Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma linamshikiria Afisa utumishi wa chuo kikuu cha Dodoma@UDOM, P.LIPILI kwa tuhuma ya kupatikana na madawa yadhaniwayo kuwa ya kulevyo.Chanzo cha habari hii kimeeleza kuwa Afisa huyo alikamatwa jana tarehe 27.08.2001 majira usiku wa manane akiwa na pipi zidhaniwazo kuwa madawa ya kulevyo.Tutaendelea kufahamishana maendeleo ya mkasa huu.
 
Source plz
<br />
<br />
akirud atakwambia,ila maelezo yake ya mwisho yanaonesha kuwa sosi ni yeye,,,,,,hivi jk akitaja hesabu za megawati huwa anataja sosi?????mbona mnamnukuu akodingli
 
Toa detail zake zote. Jina na cheo chake plz.
 
PRIVATUS LIPILI,Afisa utumishi.Source ni taarifa kutoka ndani ya Jeshi hilo. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
thnx. Utaendelea ku2juza ss wana JF
 
Back
Top Bottom