Kigogo wa kike aliyelipa m 7 kufanyiwa shoo peke yake

Kigogo wa kike aliyelipa m 7 kufanyiwa shoo peke yake

Chanya

Senior Member
Joined
Mar 2, 2011
Posts
133
Reaction score
22
wadau leo mchana msanii wa muziki Bob junior amekiri live kwamba alilipwa m7 cash ili amfanyie shoo kigogo mkubwa wa kike hapa nchini ambaye ni mwanasiasa mkubwa anayeishi masaki tena wakiwa wawili tu ndani ameongea mengi ila amesema katu hatomtaja jamani mwenye jina aliweke hapa source You heard Clouds
 
Udaku tu huu ukimjua atakusaidia nini ktk maisha yako
 
si pesa zake jamani na show yao wawili.
Ila ndo tabu ya kumingo na vilza wapenda sifa, huyo kigogo ajifunze.
 
gaddafi na wanae pia alikuwa anafanya hivi
hizi ndo tabia za viongozi wa africa
 
hivi bi kirobotiii anaishi masaki? Eti mauno yangu wengine wanayabeza lakini mama kayakubali kanipa m7-mr.chokoleti.
 
wadau leo mchana msanii wa muziki Bob junior amekiri live kwamba alilipwa m7 cash ili amfanyie shoo kigogo mkubwa wa kike hapa nchini ambaye ni mwanasiasa mkubwa anayeishi masaki tena wakiwa wawili tu ndani ameongea mengi ila amesema katu hatomtaja jamani mwenye jina aliweke hapa source You heard Clouds

Mshamba tu huyu, anatafuta umaarufu wa kuunganisha maneno 'masaki' na 'kigogo'; hakuna kigogo mwenye kuhitaji shughuli ya maana anayeweza vutiwa na bob junior kwani amekaa kikike sana;
 
Huyo bobo junior aje kwangu manake naona kama vile ana ji promo mwenyewe kwa kuharibbia wenzake heshima ila aje kabisa na yale mafuta yao sjui mbayaitaje?
 
Uswahili kazi kweli, bora uchawi! Sasa hapo asubiri watamuita tena! Bora Bililla walifungua hotel bongo!
 
Back
Top Bottom