gaddafi na wanae pia alikuwa anafanya hivi
hizi ndo tabia za viongozi wa africa
ukishakutana na mwanaume anajisifia miuno...jua kazi ipo!
si pesa zake jamani na show yao wawili.
Ila ndo tabu ya kumingo na vilza wapenda sifa, huyo kigogo ajifunze.
gaddafi na wanae pia alikuwa anafanya hivi
hizi ndo tabia za viongozi wa africa
wadau leo mchana msanii wa muziki Bob junior amekiri live kwamba alilipwa m7 cash ili amfanyie shoo kigogo mkubwa wa kike hapa nchini ambaye ni mwanasiasa mkubwa anayeishi masaki tena wakiwa wawili tu ndani ameongea mengi ila amesema katu hatomtaja jamani mwenye jina aliweke hapa source You heard Clouds