Kaliua urambo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 603
- 127
wadau leo mchana msanii wa muziki Bob junior amekiri live kwamba alilipwa m7 cash ili amfanyie shoo kigogo mkubwa wa kike hapa nchini ambaye ni mwanasiasa mkubwa anayeishi masaki tena wakiwa wawili tu ndani ameongea mengi ila amesema katu hatomtaja jamani mwenye jina aliweke hapa source You heard Clouds
Kama hataji jina tunamuona mzushi anayeuza sura na kutaka kujipandisha dau tu.
Do you know now how to separate boys from men?
no doubt dawwwwwg' realy lk this....A can spot a real man miles away.
Mie mbwa wa polisi nawajua wahalifu wangu
Mie mbwa wa mfugaji, najua wanyama hatari wa mwitu
shoo gani ya watu wawili hiyoooooo? au ni ile shoo nyingineee?????
Naskia bob junior in punga....
Huyo bobo junior aje kwangu manake naona kama vile ana ji promo mwenyewe kwa kuharibbia wenzake heshima ila aje kabisa na yale mafuta yao sjui mbayaitaje?
mil 7! No plz. Kisa nini pale?
source- wafuuuu fmmmmwadau leo mchana msanii wa muziki Bob junior amekiri live kwamba alilipwa m7 cash ili amfanyie shoo kigogo mkubwa wa kike hapa nchini ambaye ni mwanasiasa mkubwa anayeishi masaki tena wakiwa wawili tu ndani ameongea mengi ila amesema katu hatomtaja jamani mwenye jina aliweke hapa source You heard Clouds