Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
WAkuu,
Kupitia ukurasa wa X wa ACT Wazalendo wameweka taarifa hii, mambo yameanza kunoga mapemaaa!
Kupata matukio yanyojiri kimkoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakati uchaguzi wa Serikali za Mitaa ukianza leo Novemba 27, 2024, tayari kumeanza kuripotiwa matukio yanayotajwa kuashiria kwa namna moja ama nyingine kuvurugwa uchaguzi huo.
Katika kitongoji cha Majengo kilichopo mamlaka ya mji mdogo wa Mwandiga, Jimbo la Kigoma Kaskazini, mkoani Kigoma, zimegundulika zinazodaiwa kuwa kura feki zilizopangwa kutumika katika uchaguzi huo.
Jambo TV inaendelea kufuatilia mwenendo wa uchaguzi huu nchi nzima na tutakuwa tukikuhuisha na taarifa zake kadiri zitakavyotufikia.
Kupitia ukurasa wa X wa ACT Wazalendo wameweka taarifa hii, mambo yameanza kunoga mapemaaa!
Kupata matukio yanyojiri kimkoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakati uchaguzi wa Serikali za Mitaa ukianza leo Novemba 27, 2024, tayari kumeanza kuripotiwa matukio yanayotajwa kuashiria kwa namna moja ama nyingine kuvurugwa uchaguzi huo.
Katika kitongoji cha Majengo kilichopo mamlaka ya mji mdogo wa Mwandiga, Jimbo la Kigoma Kaskazini, mkoani Kigoma, zimegundulika zinazodaiwa kuwa kura feki zilizopangwa kutumika katika uchaguzi huo.
Jambo TV inaendelea kufuatilia mwenendo wa uchaguzi huu nchi nzima na tutakuwa tukikuhuisha na taarifa zake kadiri zitakavyotufikia.